FINCA MICROFINANCE BANK INATOA AINA MBILI ZA MASULUHISHO YA MKOPO WA ELIMU:

MKOPO WA ELIMU KWA WAMILIKI WA SHULE

Je, wewe ni mmiliki wa shule? Usihofu FINCA Microfinance iko tayari kukusaidia, fika kwetu na tunaweza kukupa Mkopo wa hadi TZS 220,000,000 ili uweze kuendeleza shule yako.

MKOPO WA ADA YA SHULE

Hebu tuwekeze katika elimu yako na ya mtoto wako – jipatie ada ya shule ya hadi TZS 10,000,000/= na kamilisha masomo yako au watoto wako wakamilishe masomo yao.

  • Uhuru wa kuchagua utaratibu wa kurejesha katika kipindi cha hadi miezi 36
  • Marejesho yanafanyika kulingana na vipindi vya ada za shule

  • Mzazi au mlezi Mlezi anapaswa kuwa na chanzo cha mapato

  • Bidhaa hii inapatikana kwa wale wa kuanzia ngazi ya Elimu ya Msingi hadi ngazi ya Chuo Kikuu

  • Ada za shule zitalipwa moja kwa moja shuleni au kwenye taasisi

  • Mkopo utakaopata unategemea kiwango cha Akiba ndani ya Akaunti ya Mipango