Elimu ya Fedha

Mpangilio wa fedha

Jinsi ya kutofautisha na kupangilia kati ya fedha za biashara, matumizi na akiba

Nidhamu ya mikopo

Jinsi ya kuweka mkopo katika malengo sahihi ili kupata mafanikio

Thamani ya mikopo

Njia sahihi ya kujenga uaminifu kwa taasisi ya mikopo ili uweze kupata mkopo zaidi

Ujuzi wa huduma kwa wateja

Umuhimu wa kutoa huduma nzuri kwa wateja ili kuendesha biashara vizuri na kujiongezea wateja zaidi

Kumbukumbu za biashara

Mali bila daftari hupotea bila habari… jinsi ya kutunza kumbukumbu ili kujua mzunguko na mpangilio mzima wa biashara kiujumla

Utamaduni wa kuweka akiba

Jijengee msingi wa kuweka akiba kidogokidogo kwa ajili ya malengo ya baadae au kukabili dharura

Fungua akaunti

Kufungua akaunti ni rahisi. Fungua akaunti na FINCA Microfinance Bank Tanzania.

Omba mkopo

Je, unahitaji mkopo? Omba mkopo na FINCA Microfinance Bank Tanzania.

Jiunge sasa

Jiunge na FINCA Microfinance Bank Tanzania kupata huduma bora za kifedha.

Pakua App yetu kwa ajili ya kupata elimu inayohusu masuala ya fedha, kujiwezesha.

Inapatikana

Playstore

Contact

Feel free to contact us in case of any inquiry or feedback

Headquarters

Bagamoyo Road, Plot No.34 8th Floor,
TAN House, Victoria Area, Dar es Salaam Tanzania

Working hours

Open Monday to Saturday
From 07:00 AM to 18:00 PM

Bagamoyo Road, Plot No.34 8th Floor, TAN House, Victoria Area

P.O Box 78783 – Dar Es Salaam Tanzania
P: +255 (22) 2212200 | M: info@fincatz.org

SONGA na FINCA © All Rights Reserved